TUMUSIFU BWANA

prop

Wednesday 30 May 2018

TETESI ZA SOKA BARANI ULAYA JUMATANO YA 30.2018

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.

Image caption
Manchester City imetangaza kuwa haina mpango wa kumuuza Phil Foden anayewachezea safu ya kati ambaye alitimiza umri wa miaka 18 Jumatatu.
Wakati huo huo, Spurs wanamfuatilia kwa karibu mlinda lango wa klabu ya Southampton Mwingereza Alex McCarthy, mwenye umri wa miaka 28. (Mirror)
Mchezaji wa Manchester City anayecheza katika safu ya kati Muingereza Phil Foden, ambaye alitimiza umri wa miaka 18 Jumatatu , atapewa mkataba mpya na hatauzwa kwa mkopo msimu ujao. (Telegraph)


Newcastle wanamtaka sana Fulham Ryan Fredericks
Mshambuliaji wa Bournemouth mwenye umri wa miaka 26 Mnorway Joshua King anasema kuwa hafurahii namna meneja Eddie Howe alivyomtumia msimu uliopita. (VG via Independent)
Newcastle wanataka kusaini mkataba na mlinzi wa Fulham Mwingereza Ryan Fredericks. (Newcastle Chronicle)
Mshambuliaji wa timu ya Leeds United raia wa Sweden Marcus Antonsson, mwenye umri wa miaka 27, hana uhakika wa hali yake ya baadae katika klabu hiyo inayocheza ligi ya Championship Uingereza. (Fotboll Direkt via Yorkshire Evening Post)

BBC ;source

No comments:

Post a Comment