TUMUSIFU BWANA

prop

Showing posts with label Nyimbo mpya za underground. Show all posts
Showing posts with label Nyimbo mpya za underground. Show all posts

Wednesday, 23 May 2018

May 23, 2018

Meneja wa Diamond arudishwa rumande tena

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Tip Top Connection ya jijini Dar es Salaam na Meneja wa mwanamuziki Naseeb Abadul ‘Diamond’, Hamis Taletale ‘Babu Tale’ (katikati aliyekaa) akiwa na wakili wake na ndugu zake mahakamani hapo.
Mahakama hiyo pia leo ilitoa fursa kwa pande mbili zinazohusika katika kesi hiyo kujadiliana lakini baada ya majadiliano hayo pande zote zilirudisha majibu kwa hakimu kwamba hazikufikia maelewano yoyote.  Hivyo msajiri wa Mahakama Kuu alichukua uamuzi wa kuiahirisha tena kesi hiyo.
Soma magazeti ya Leo alhamisi bofya hapa
…Wakiendelea kuongea.
Kipindi cha nyuma mahakama hiyo ilimwamuru Babu Tale alipe Sh. milioni 250 Mhadhiri wa Dini ya Kiislamu, Sheikh Hashim Mbonde, baada ya kupatikana na makosa ya ukiukwaji wa hakimiliki kwa kutumia masomo yake kibiashara bila ridhaa yake kinyume cha Sheria ya Hakimiliki na Hakishiriki.

Hukumu hiyo ilitolewa na Jaji Agustine Shangwa, Februari 18, mwaka juzi, katika kesi ya madai namba 185 ya mwaka 2013, iliyofunguliwa na Sheikh Mbonde aliyewalalamikia ndugu hao kutumia mahubiri yake kibiashara bila ridhaa yake.

Saturday, 14 April 2018

Sunday, 1 April 2018

April 01, 2018

All goals Chelsea vs totenam 1_3 all highlight goals

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
Yatazame magori ya mechi ya Chelsea zidi ya totenam 1_3 .install kalambonews kupata habari zetu Leo hii

Tuesday, 27 March 2018

March 27, 2018

Fully time Tanzania vs DRC CONGO 2 _0

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
FULL TIME: MPIRA UMEMALIZIKA KUTOKA UWANJA WA TAIFA
Dak ya 94, Yahaya Zayd anaingia kuchukua nafasi ya Simon Msuva
Dak ya 93, Unapigwa huku, Stars wanaokoa
Dak ya 92, DRC wanajaribu kupenyeza kulia mwa Uwanja walau kupata bao la kufutia machozi, faulo, mpira unapigwa kuelekea Stars
Dak ya 91, Manula anapiga mbele huku kuwatafuta washambuliaji
DAKIKA 90 ZIMEMALIZIKA, ZIMEONGEZWA DAKIKA 4
Dak ya 89, Shomari Kapombe amebebwa kwenye machela kutolewa nje baada ya kuumia
Dak ya 87, Mabadiliko; Kichuya anatoka Uwanjani, nafasi yake inachukuliwa na Rashid Mandawa
Dak ya 86, Gooooooli, Kichuyaa, anafunga bao la pili kufuatia kazi nzuri aliyotengenezewa na Samatta
Dak ya 85, Zimesalia dakika 5 mpira kumalizika
Dak ya 84, Kadi ya njano anapewa beki wa FRC baada ya kumchezea madhambi Ibrahim Ajib
Dak ya 82, Gadieeeel, piga shuti moja lakini linapaa juu ya lango
Dak ya 82,  Mpira ni goli kiki, Kipa wa DRC anaanza upya
Dak ya 80, DRC wanapambana kupata bao hapa, Stars wanaondoka na mpira, kwake Samatta lakini DRC wanaokoa tena


Dak ya 79, Bado DRC wana mpira
Dak ya 78, Kwenda huku mbele sasa wachezaji wa DRC na mpira, wanajaribu kutafuta bao la kusawazisha
Dak ya 77, DRC wameshaanza, Stars wanaunyaka, piga huku mbele kwake Samatta tena, unamkuta Kichuyaaaaa, kipa anadaka, ilikuwa hatari
Dak ya 74, Goooooli, Mbwana Samatta anafunga bao la kwanza kwa njia ya kichwa kufuatia krosi nzuri ya guu la kushoto kutoka kwa Shiza Kichuya, Stars 1, DRC 0
Dak ya 73, Kocha Mayanga ameshindwa kukalia kiti chake, muda wote amesimama, hii ni kuhakikisha vijana wake wanapambana
Dak ya 71, Gadiel Michael anagangwa na madaktari baada ya kuumia mguu wakati akiokoa mpira uliokuwa unaelekea kwenye nyavu za Stars

Dak ya  70, Wachezaji wa akiba wa Stars wanapasha
Dak ya 68, Mpira umesimama, Banda amekaa chini
Dak ya 67, DRC na mpira, pigwa pasi moja, mabeki wa Stars wanaokoa na mpira unakwenda nje. Unarushwa huku, Manula anadaka
Dak ya 65, Kelvin Yondan anao mpira eneo la nyuma huku, pasia kwake Kichuya, DRC wanauchukua, hatarii huku langoni mwa Stars inatokea piga nikupige na DRC wanakosa goli la wazi kabisa, yangekuwa mambo mengine muda huu
Dak ya 64, DRC walishaanza, wanatoa nje, unarushwa kuelekea langoni kwao
Dak ya 63, Bahati mbaya inaiandama Stars, Msuva anakosa kuiandika tena Stars bao, mpira unamtoka miguuni na kwenda nje, Goli Kiki
Dak ya 62, Offside, Stars wanaotoea, bado matokeo ni 0-0
Dak ya 61, Ajib anashindwa kutumia nafasi yake ya kwanza vizuri, baada ya kupiga shuti na kwenda nje ya goli
Dak ya 60, Mpira ni goli kiki, unapigwa kuelekea DRC, Manula anaanza taratibu na Yondan, pigwa mbele huku

Dak ya 59, Mohammed Issa anatoka baada ya kuumia, Ibrahim Ajib anachukua nafasi yake
Dak ya 58, DRC wako langoni mwa Stars, wanafanya jitihada za kuandika bao la kwanza, mpira unakuwa faulo, unapigwa kuelekezwa DRC
Dak ya 57, Mohammed Issa ameumia, mpira umesimama kwa muda
Dak ya 57, Goli Kiki, wakati huo Manula anawaonya wachezaji wake wazidi kuwakaba DRC, wasiwaachie
Dak ya 56, Stars wanaanza tena eneo la ulinzi, pigwa kwake Msuva huku mbele, mabeki wa DRC wanakuwa maridadi wanacheza kuokoa mpira
Dak ya 54, Ndombe anatoka upande wa DRC, nafasi yake inachukuliwa na Junior Kabananga
Dak ya 54, DRC wanakosa nafasi ya kupata bao la kwanza kufuatia shambulizi zuri, mpira unakwenda nje
Dak ya 53, DRC wanaanza eneo la nyuma
Dak ya 52, Mohammed Issa na mpira, pasia kwa Msuva, unamkuta kipa wa Congo anaokoa kwa kupiga shuti kali

Dak ya 51, Msuuuuva, piga shuti kali lakini linaishia kwenye nyavu za nje, ilikuwa ni shambulizi moja zuri kwa Stars
Dak ya 50, Nyoni anacheza madhambi, mpira unapigwa kuelekea Stars, piga huku lakini DRC wanaudaka tena
Dak ya 49, Goli kiki, DRC wanaanza
Dak ya 48, Hatarii, Samatta anamtengeneza pasi muruuua kabisa Msuva na anadondoshwa ndani ya eneo la penati boksi, Mwamuzi anasema hakuna penati.
Dak ya 47, Samatta anapasia kwake Yondani, kwake Samatta tena, mabeki wa DRC wanamchezea faulo Samatta, mpira unapigwa kuelekea DRC
Dak ya 46, Ma

Sunday, 25 March 2018

March 25, 2018

Faith fighter kwaya TAZAMA BWANA

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
Faith fighter kwaya ni kwaya ya mungano wa wanafunzi kasfeta shule ya secondari mwakaleli iliyopo tukuyu mbeya.albamu yao inaitwa Nani kama wewe yenye jumula ya nyimbo nane usikose kuipata albamu iyo Leo kuzipata nyimbo au CD zetu wasiliana nasi kupitia email Yetu apo chini .install kalambonews Leo kupata habari zote Leo hii.
March 25, 2018

Dickson tamba nibaki na mungu songs

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
Install kalambonews app to get new songs and information now

Saturday, 24 March 2018

March 24, 2018

Wimbo mpya wa Maxmailly _ mama

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
Kalambonews app inakulete nyimbo mpya za under ground kwenye simu yako pakua kalambonews Kwa kila habari Leo hii
March 24, 2018

D wasa kosa gani .wimbo mpya wa d wasa

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
Kalambonews Kwa malanyingine ina kusogezea wimbo mpya wa D wasa uitwao kosa gani niwimbo unao husu kuelisha kua tayari kuipokea video yake punde tu itakapo toka usisahau kupakua kalambonews kuzipata nyimbo mpya za underground now

Thursday, 22 March 2018

March 22, 2018

Swax boy salv manyika combination sound

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
Kupata nyimbo mbalimbali za gospal na bongo flava install kalambonews now

Tuesday, 20 March 2018

March 20, 2018

Nani kama wewe kasfeta mwakaleli sekondari school

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
Nani kama wewe ni albamu iliyo tolewa na kwaya ya faith fighter kutoka shule ya sekondali mwakaleli high school ilio beba nyimbo mbalimbali kama,tazama bwana,safari ,heshima na utukufu na nani kama wewe usikose albamu iyo Kwa mafundisho ya neno la mungu Leo pia kupata nyimbo zote pakua app ya kalambonews Leo hii

Sunday, 18 March 2018

March 18, 2018

Yesu rafiki Philip njou

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
  kupata nyimbo mpya zadini pakua app Yetu ya kalambonews Leo usipitwe na ujumbe wa mungu