TUMUSIFU BWANA

prop

Saturday 31 March 2018

March 31, 2018

All man united goals 2 _0 swases

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
Install kalambonews app to get each informations
March 31, 2018

Everton vs mancity all highlight goals 5_1

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
Kwa Malaya kwanza Kwa klabu ya manicity kupigwa goril 5_1 zidi ya Everton Jana wakiwa ugenini.install kalambonews for daily news papers
March 31, 2018

Russia and British headlines newspapers on April 01.2018

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.







For daily news papers and headlines install kalambonews app
March 31, 2018

Dondo za magazeti ya April 01.2018 jumapili

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
 Ni asubui nyingine kalambonews tu nakusogezea kurasa za magazeti za jumapili ya April 01.2018 .usisahau kutoa maoni yako













March 31, 2018

Meneja wa mbunge wa arusha lema ahamia ccm

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
Katibu Mwenezi wa CHADEMA ambaye pia alikuwa Meneja Kampeni wa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, Gabrieli Kivuyo (kushoto).
Katibu Mwenezi wa chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye pia alikuwa Meneja Kampeni wa Mbunge wa Ausha Mjini, Godbless Lema, Gabrieli Kivuyo jana alikihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kile alichodai ni utovu wa nidhamu ndani ya CHADEMA.

Aidha, amedai kuwa viongozi wake ikiwemo Mbunge kuwadharau pamoja na kitendo cha kutolewa nje kwenye kikao cha Mameya kwa tuhuma za kuwarekodi.

Akizungumza wakati akipokelewa na Katibu wa CCM-Wilaya, Musa Matotoka, amesema hata akipata matatizo na kumtafuta Mbunge amekuwa hapatiwi ushirikiano.
March 31, 2018

Wakristo ulimwenguni kote wanatarajia kusherekea paasaka

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.

Wakristo ulimwenguni kote wanasheherekea Ijumaa Kuu, wakikumbuka kusulubiwa kwa Yesu na Ijumaa huko Jerusalem, ibada maalum ya pasaka ilifanyika ikifuata utamaduni wa kale katika ardhi hiyo takatifu.
Mahujaji kutoka ulimwenguni kote walifurika Ijumaa katika maeneo mbalimbali kupitia njia finyu zilizoko eneo la Cobblestone wakipitia eneo la Dolorosa katika mji wa zamani wa Jerusalem ili kushiriki katika maandamano ya sherehe za Ijumaa Kuu.

Wamekuwa wakiimba nyimbo za kiroho na kusoma baadhi ya vifungu vya Bibilia, wakifuatilia nyao za Yesu hadi kufika katika vituo 14 vya msalabani.

“Bila shaka niheshima kubwa kwangu kuwa katika ardhi hii tukufu kwa maadhimisho haya. Ni kitu kikubwa sana. Inanisaidia katika imani yangu, inanisaidia katika kila kitu,” amesema Gary Osterberg anaetokea Canada.

Katika ardhi hiyo takatifu, dini na siasa havigawanyiki. Sikukuu ya Pasaka imekuja wiki sita kabla ya mpango wa Marekani kuhamisha ubalozi wake huko Israel kutoka Tel Aviv kwenda Jerusalem.

“Nafikiri kuwa kuhamisha kwa ubalozi wa Marekani kwenda Jerusalem ni jambo sahihi. Nafikiri ni kitu muwafaka kufanyika. Na natamani kama Canada ingefuata hilo na kutekeleza uhamisho huo; kuhamisha Ubalozi wa Canada kutoka Tel Aviv kwenda Jerusalem.

Lakini Wapalestina wamekasirishwa na hatua hiyo ya kuhamisha ubalozi na uamuzi wa Rais Donald Trump kuitambua Jerusalem kama makao makuu ya Israel. Imad, muuza duka katika soko la Arab bazaar, amesema anatarajia siku za usoni kuwaJerusalem itakuwamji mkuu wa Palestina

“Sitarajii kitu chochote kutoka kwa Donald Trump, bali vitu vibaya. Hili, unafahamu, ni sehemu ya yale ambayo wanayafanya dhidi ya Wapalestina: hatua nyingine, kitu kingine, ambacho kitawaumiza Wapalestina.”

Friday 30 March 2018

March 30, 2018

BRITISH NEWSPAPERS ON MARCH 31.2018

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
 It's another day your love brog bring British daily newspapers of march 31.2018 .for daily information install kalambonews now









March 30, 2018

USA TIE SOCIAL MEDIA TO VISA APLICATION

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
The Trump administration has said it wants to start collecting the social media history of nearly everyone seeking a visa to enter the US.
The proposal, which comes from the state department, would require most visa applicants to give details of their Facebook and Twitter accounts.
They would have to disclose all social media identities used in the past five years.
About 14.7 million people a year would be affected by the proposals.
The information would be used to identify and vet those seeking both immigrant and non-immigrant visas.
Applicants would also be asked for five years of their telephone numbers, email addresses and travel history. They would be required to say if they had ever been deported from a country, or if any relatives had been involved in terrorist activity.

Image caption
The proposals would place an additional burden on travellers whose countries do not have a visa exemption deal with the US
The proposal would not affect citizens from countries which the US grants visa-free travel status - among them the UK, Canada, France and Germany. However, citizens from non-exempt countries like India, China and Mexico could be embroiled if they visit the US for work or a holiday.
What's the current stance on requesting social media?
Under rules brought in last May, officials were told to seek people's social media handles only if they felt "that such information is required to confirm identity or conduct more rigorous national security vetting", a state department official said at the time.
The tougher proposal comes after President Trump promised to implement "extreme vetting" for foreigners entering the US, which he said was to combat terrorism.
"Maintaining robust screening standards for visa applicants is a dynamic practice that must adapt to emerging threats," the state department said in a statement, quoted by the New York Times.
"We already request limited contact information, travel history, family member information, and previous addresses from all visa applicants. Collecting this additional information from visa applicants will strengthen our process for vetting these applicants and confirming their identity."
March 30, 2018

TP mazembe kumfuata kichuya TFF

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
Mudathir Yahya anazidi kutawala kwenye vichwa vya habari za michezo akihusishwa kujiunga na Yanga ambao ni mabingwa watetezi wa taji la VPL.

Kiungo huyo anaecheza kwa mkopo Singida United amemaliza mkataba wake na klabu ya Azam hivyo kwa sasa ni mchezaji huru na anaweza kujiunga na timu yoyote atakayoamua mwenyewe.

Mara baada ya uongozi wa Azam kupitia msemaji wake Jafar Idd kutangaza kumruhusu mudathir kuendelea na maisha yake ya soke sehemu nyingine, Yanga inatajwa kuanza kuiwinda saini ya mchezaji huyo wa Zanzibar Heroes na Taifa Stars.

Mwenyekiti wa kamati ya mashindano Yanga Hussein Nyika amesema hadi sasa klabu yao haijaongea na mchezaji yeyote wala hawajafanya usaji wa aina yoyote.

“Hakuna kitu kama hicho sisi (Yanga) tunaelekeza nguvu zetu kwenye mashindano, hatujafika kipindi cha usajili. Yanga inafanya usajili kwa taratibu zake, baada ya mashindano kumalizika lazima mwalimu atuletee ripoti yake anahitaji maeneo gani yajazilizwe hapo ndipo tutaingia msituni kwa ajili ya usajili.”

“Hadi sasa hivi hatujaongea na mchezaji wa aina yoyote na hatujafanya usajili wa aina yoyote. Hatuwezi kufanya usajili kwa sababu mchezaji yupo huru, usajili wetu huwa tunafanya baada ya kupokea ripoti ya mwalimu na mapendekezo yake. Mwalimu ndio anafanya usajili sisi tunatekeleza ambayo mwalimu anaagiza.”

Uongozi wa Singida United umesema, pamoja na Mudathir Yahya kumaliza mkataba na Azam wao wana mipango nae na huenda wakaingia mkataba wa muda mrefu na mchezaji huyo
March 30, 2018

Dondo za magazeti ya jumamosi ya march 31.2018

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
 Ni asubui nyingine blogg yako ya kalambonews tuna kusogezea dondo za kaurasa za magazeti ya jumamosi ya march 31 .Toa maoni yako Leo hii.