TUMUSIFU BWANA

prop

Tuesday 8 May 2018

Tetesi ya usajili Yanga ivi punde hizi hapa

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
Tetesi za Usajili Yanga : Stand United yajipanga kuwabania Yanga kwa Huyu

Wakati kukiwa na Habari kuwa Mwalimu George Lwandamina aliyekuwa kocha Mkuu wa Yanga kuacha majina ya baadhi ya wachezaji Yanga kuwa katika mapendekezo yake ya Usajili Stand United nao wameibuka na Yao.

Lwandamina katika Ripoti yake alikuwa amependekeza wachezaji Bigirimana Blaise wa Stand United, Marcel Bonaventure wa Maji Maji na Adam Salamba wa Lipuli.

Lakini Stand United  UTASEMA wamesikia ishu ya Yanga kumwitaji Blasie Bigirimana

Kupitia kwa katibu mkuu wake Kenny Nyangi  amesema kuwa wanajipanga kuhakikisha wanawaongezea mkataba wachezaji wake wote Muhimu akiwemo Blaise Bigirimana na beki Kisiki Ali Ali.

No comments:

Post a Comment