TUMUSIFU BWANA

prop

Thursday 10 May 2018

Posti ya kichuya baada ya simba kuwa ma bingwa

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
Post ya Shiza Kichuya baada ya Ubingwa Simba

Jana ilikuwa siku yenye Furaha kwa Simba mara baada ya Kukaa misimu kadhaa Bila Ubingwa, Ubingwa wa Mwisho ukiwa ni Ule wa msimu wa 2011/2012.

Shiza Kichuya ambaye amekuwa na Msimu mzuri Msimbazi akisaidia kupatikana magoli ( assists ) 20 katika mechi 27 ameandika ujumbe wake kupitia Ukurasa wa Instagram.

Ujumbe wa Kichuya Huu hapa chini

SIO NGUVU ZETU ILA M/MUNGU UMESAIDIA SANA TUNASEMA AHSANTE SANA BILA WEWE SISI SI CHOCHOTE SI LOLOTE 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
A POST SHARED BY SHIZA RAMADHANI KICHU

No comments:

Post a Comment