TUMUSIFU BWANA

prop

Showing posts with label VICHEKESHO. Show all posts
Showing posts with label VICHEKESHO. Show all posts

Saturday, 14 April 2018

April 14, 2018

Ungekuwa wewe ndo umenunua soda unge mfanyaje uyu jamaa

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
Bonyeza apa kutazama>>>> endelea kufurahia uduma zetu /Kumuka kutoa maoni yako ungemfanyaje

Sunday, 8 April 2018

April 08, 2018

Cheki jamaa alicho kifanya

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.

Vunja mbavu Kwa kuongeza siku jamaa alicho mfanyia mkewake .

Thursday, 29 March 2018

March 29, 2018

Unge kuwa boss uyu unge mfanyaje wewe ?*******

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
******* *Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi ndugu.
*Boss*:-umesoma mpaka wapi?
*Jamaa*:-mpaka form four.
*Boss*:-unajua kingereza?
*Jamaa*:-kwani hao wezi wanakuja na wazungu???.
😅😅😅😅😅😅*******

Wednesday, 28 March 2018

March 28, 2018

Ukicheza na mwanaume utavuna mabua mucheki uyu binti kilicho mkuta ****

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla
akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye A.T.M binti
akaamua kujificha na kumtumia boyfriend wake sms ya
kimahaba
"Honey kama upo nyumbani umelala naomba unitumie ndoto
zako,
Kama unakula nitumie chakula, Kama unacheka nitumie kicheko
chako,
Kama unalia nitumie machozi yako,Kama unatoa pesa kwenye
A.T.M nitumie pesa." Boyfriend akajibu "NIKO CHOONI LABDA
NIKUTUMIE KINYESI MPENZI******** ungefanyaje wewe

Tuesday, 27 March 2018

March 27, 2018

Ungekua wewe unge fanyaje !!!!!!

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake frank ambaye ni kipofu, akamkaribisha ndani akakaa, dem kavua ile kanga akabaki uchi akainama akaanza kujipaka mafuta akijua frank hamuoni na mazungumzo yakawa ni Haya..
DEM: VIPI FRANK MBONA UMEPOTEA YAANI HUONEKANI SIKU HIZI..?
FRANK: AH NILIENDA INDIA KUFANYIWA OPERESHENI YA MACHO SASA HIVI NAONA VIZURI KABISA!…
March 27, 2018

Vunja mapafu Leo Kwa uyu mwanamke !!!!!!

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.

Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
Jamaa: Una tatizo gani baby?
Mrembo: Nimetoka hospitali kupima, nna mimba.
Jamaa: Weeh usiniletee balaa hiyo mimba imeingiaje wakati huwa tunatumia kinga?
Mrembo Kwani nani kakwambia mimba ni yako, hebu tuliza mshono huo.

Friday, 23 March 2018

March 23, 2018

Vunja mbavu !!!!!!

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
📮usisahau Ku install kalambonews now ingia Playstore install now 📮
March 23, 2018

Vunja mbavu masikini na Kuku Leo

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
😁 KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku😂👇✔
ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa 😆😆😆😆
🙉🙉🙉Usisahau kushare kichekesho hiki.👍 Share facebook, twitter, Google+ n.k bila kusahau WhatsApp! Share kote wenzio nao wacheke😁😁😁💯✔
March 23, 2018

Vunja mbavu kwakuona arusi hii usipo ipenda dai mb zako

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
Kuendelea kupata habari namatukio ya kila siku pakua kalambonews app kupata habari za kila siku Leo kwenye simu yako na kwawakati  bilakusahau tunatoa ushauri pia maoni yako leo

Thursday, 22 March 2018

March 22, 2018

Vunja mbavu mcheki jamaa alicho kifanya

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
To get new commedy install kalambonews now

Monday, 19 March 2018

March 19, 2018

Vunja mbavu Leo usipo Cheka sio mzima

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.

Friday, 16 March 2018

March 16, 2018

Kiboko cha kupigwa chaga bila sababu yoyote

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
 kabali zetu pakua app Yetu ya kalambonews leo
MPENZI WAKO AKIKUACHA BILA SABABU CHUKUA SIMU MPIGIE MAMA AKE MWAMBIE MWANAO AMEKUFA UWEZI…. KULIA PEKE YAKO

Thursday, 15 March 2018

March 15, 2018

USIPO CHEKA NENDA UKAPIMWE HOSPITAL

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Smart phone), kukawa na jamaa kasimama pembeni yangu, ye hakupata seat. Sasa akawa anasoma message zangu bila aibu yani anafutilia ninavyochati…
Basi nikasema ngoja nimtie Adabu mshenzi huyu…. Nikacheck saa yangu yamkononi kisha nikatext: "Oya Ben Kwaheri bwana, zimebaki sekunde 30 tu hili bomu💣 lilipuke… najua hatutaonana tena, nitunzie Familia yangu, wambie nawapenda sana…" Yule jamaa akajirusha dirishani……😂😅
​kwani mi napenda ujinga xx 😂😂😂😂😂😂😂