TUMUSIFU BWANA

prop

Sunday 25 March 2018

Tetesi za usajili balani uraya march 25

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
Manchester United iko tayari kumuuza kiungo wa Ufaransa ,25 Paul Pogba . Wachezaji inaowanyatia ni beki wa Real Madrid Raphael Varane, 24, na kiungo wa kati wa Ujerumani Toni Kroos, 28, beki wa Paris St-Germain na Brazil Marquinhos, 23, na kiungo wa kati wa Itali Marco Verratti, 25, pamoja na beki wa Juventus, 27, raia wa Brazil Alex Sandro. (Sunday Mirror)
Pogba na mkufunzi wa Manchester United Jose Mourinho hawazungumziani baada ya mchezaji huyo wa kimataifa wa Ufaransa kuwachwa nje na klabu yake mwezi uliopita (Sun on Sunday)
Mourinho hadhani kwamba ''uwezo wa wachezaji'' unaweza kumfuta kazi katika klabu ya Old Trafford. (Mail on Sunday)

No comments:

Post a Comment