Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
SHAMSA FORD ACHARUKA MASTAA KUIBIANA MABWANA
Shamsa Ford
MSANII anayefanya vizuri Bongo Muvi, Shamsa Ford amefunguka kuwa hakuna kitu anachokiheshimu kama mwanaume wa mtu wake wa karibu lakini anashangaa wasanii wengi wamekuwa wakiiba wanaume wa watu.
Akizungumza na Amani bila kuwataja majina, Shamsa alisema kuna baadhi ya mastaa wanajua wazi mwanaume anayemtongoza ni wa rafiki yake lakini akijua tu ana fedha yuko radhi hata ajifanye kama hamjui huyo rafiki yake ili mradi tu atembee naye.
“Mimi jamani niko tofauti kabisa siwezi mwanaume wa rafiki yangu akanitongoza nikakubali ninaheshimu hilo lakini wengine wako radhi wakukane ili mradi tu apate fedha,” alisema Shamsa huku akibainisha kuwa hakuna mwanamke atakayemsogelea mumewe Chidi Mapenzi kwani ni mwaminifu na hawezi kumsaliti.
Stori: Imelda Mtema.
prop
Thursday, 26 April 2018
SHAMSA FORD ACHARUKA MASTAA KUIBIANA MABWANA
Recommended Articles
- Hot news
Navy Kenzo - Fella (Official Audio)Jun 09, 2018
- Hot news
VIDEO | Machalii Wa Yesu - Yesu Anakupenda | Watch/DownloadJun 09, 2018
DOWNLOAD NOW
- Hot news
Download wimbo mpya wa MBOSSO _Nadekezwa Jun 08, 2018
DOWNLOAD NOW Huu apa uamzi wa TFF Kwa Yanga soma hapa
- Hot news
PATA ZAIDI YA MARA MBILI YA ULICHO WEKA JISAJILI SASA HAPA Jun 05, 2018
JINSI YA KUJIUNGA NA 1XBET TANZANIA 1xBet ni kampuni ya mikeka ambayo ni bora na iliyokidhi vigezo vya kimataifa katika sekta hii ya mikeka. Kampu...
Newer Article
JIKUMBUSHE MAGOLI YA OKWI MECHI YA YANGA SC VS SIMBA SC 0_5
Older Article
KIM JONG _UN HAS BECOME THE FIRST NORTHKOREA LEADER TO SET FOOT IN SOUTH KOREA BY CROSSING THE MILITARY LINE
Labels:
Hot news
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment