Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
STAA wa Muziki wa Harakati, Luundo Dunia amemfungia safari upya mkali wa Bongo Fleva, Bushoke kwa ajili ya kufanya naye kazi nyingine ya muziki.
Akizungumza leo mchana mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Luundo alisema moja ya sababu za kuwasili nchini ni kufanya tena kolabo na Bushoke pamoja na msanii mwingine.
Alisema kuwa, wimbo aliofanya na Bushoke uitwao Mbegu za Amani umetokea kukubalika zaidi nchini Canada hivyo akaona ni vyema kutengeneza naye kazi zingine.
“Bushoke anapendwa sana Canada na wimbo wetu wa Mbegu za Amani umependwa sana, lakini mbali na kuja kufanya naye kazi pia nitafanya kazi na msanii mkubwa wa Injili Tanzania anaitwa Christina Shusho,” alisema Luundo.
prop
Monday, 26 March 2018
Luuondo amfungia safari bushoke
Recommended Articles
- Hot news
Navy Kenzo - Fella (Official Audio)Jun 09, 2018
- Hot news
VIDEO | Machalii Wa Yesu - Yesu Anakupenda | Watch/DownloadJun 09, 2018
DOWNLOAD NOW
- Hot news
Download wimbo mpya wa MBOSSO _Nadekezwa Jun 08, 2018
DOWNLOAD NOW Huu apa uamzi wa TFF Kwa Yanga soma hapa
- Hot news
PATA ZAIDI YA MARA MBILI YA ULICHO WEKA JISAJILI SASA HAPA Jun 05, 2018
JINSI YA KUJIUNGA NA 1XBET TANZANIA 1xBet ni kampuni ya mikeka ambayo ni bora na iliyokidhi vigezo vya kimataifa katika sekta hii ya mikeka. Kampu...
Newer Article
Nyonzima kulejea simba Leo
Older Article
Mwandishi wa habari Anna mollel afariki dunia
Labels:
Hot news
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment