Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
MWANDISHI wa habari wa siku nyingi, Nana Steven Mollel amefariki dunia leo jioni Jumatatu, Machi 2018 akiwa Hospitali mkoani Arusha baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Nana aliwahi kufanya kazi katika kituo cha Televisheni cha ITV na Radio One cha jijini Dar es Salaam akiwa mtangazaji wa vituo hivyo kabla ya kuondoka na kwenda Karatu kufanya shughuli zake zingine.
Taarifa zaidi za msiba huo tutakueleta baadaye.
prop
Monday, 26 March 2018
Mwandishi wa habari Anna mollel afariki dunia
Recommended Articles
- Habari
LIVE: Abdul Nondo anazungumza na waandishi wa habariJun 10, 2018
BOFYA HAPA KUSIKIA MAONGEZO LIVE SASA
- Habari
HIVI APA VYUO 20 VILIVYOFUNGIWA NA NECTA NA SABABU ZA KUFUNGIWA Jun 08, 2018
Vifahamu vyuo 20 vilivyofungiwa na NACTE na sababu za kufungiwa Leo June 8, 2018 Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) limefuta usajili...
- Habari
SHUHUDI LIVE MSANII ANAYE TAMBULISHWA NA DK . SHIKAJun 08, 2018
Dk. Shika akimtambulisha msanii wake Mzee maarufu mtandaoni, Dk. Shika ameamua kutumbukia kwenye kiwanda cha Bongo Flava. Leo amemtambulish...
- Habari
Walichoandika wolper,Snura Prof.Jay kuhusu kifo cha samu wa UkweliJun 06, 2018
Walichoandika Wolper, Snura na Prof. Jay kuhusu kifo cha Sam wa Ukweli Usiku wa June 6, 2018 Muimbaji Sam wa Ukweli amefariki dunia baada ya ...
Labels:
Habari
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment