Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
Neymar na wachezaji wenzake Wabrazil wamfanyia sapraizi Fred mazoezini kwa kujiunga Man United
Tetesi za soka barani ulaya Leo soma hapa
Kiungo wa timu ya taifa ya Brazil, Frederico Rodrigues de Paula Santos maarufu kama Fred baada ya kutangazwa rasmi kusajiliwa na klabu ya Manchester United akitokea Shakhtar Donetsk, amepokelewa kwa shangwe na wachezaji wenzake wa timu ya taifa kwenye viwanja vya mazoezi vya klabu ya Tottenham jijini London ambapo timu hiyo inafanyia mazoezi tangu wiki iliyopita.
Chanzo cha kifo cha sam waukweli hiki apa
Neymar na wachezaji wengine kama Paulinho ni moja ya wachezaji waliojitokeza mapema jana kwenye mazoezi kumpongeza Fred kwa kujiunga na Man United.
Fred amejiunga na Manchester United kwa ada ya usajili wa Euro milioni 52 na ni moja ya wachezaji wenye umri mdogo walioitwa kwenye kikosi cha Brazil kinachoenda kushiriki kwenye michuano ya kombe la dunia.
prop
Wednesday, 6 June 2018
WACHEZAJI WA BRAZILI WAMPOKEA KIHIVI FRED BAADA YA KUSAJILIWA MAN UNITED
Recommended Articles
- Michezo
Julio: Alikiba Anaweza Kucheza hata Ulaya Jun 10, 2018
KOCHA wa Dodoma FC, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ameweka wazi kuwa msaÂnii wa Bongo Fleva nchini, Ally Salehe Kiba ‘Alikiba’...
- Michezo
MAMBO MATANO MAKUBWA WALIO HAFIKIANA YANGA SC MKUTANO MKUUJun 10, 2018
Club ya Dar es Salaam Young Africans leo Jumapili ya June 10 2018 ilifanya mkutano mkuu na wanachama wake katika ukumbi wa Police Officers Mess M...
- Michezo
GOR MAHIA WAIPA KICHAPO SIMBA SC...SAFARI YA ULAYA NDO BASI TENAJun 10, 2018
Moja kati ya siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu na mashabiki wa soka Bongo ni leo June 10 2018, kwani ndio ilikuwa siku inayochezwa mchezo wa...
- Michezo
MATOKEO GOR MAHIA VS SIMBA SC 2_0 KIPINDI CHAPILIJun 10, 2018
Matokeo Gor Mahia vs Simba leo 10 June 2018 Sportpesa Matokeo Gor Mahia vs Simba leo 10 June 2018 Sportpesa Matokeo Gor Mahia vs Simba leo 10 Ju...
Newer Article
Meneja wa klabu bingwa nchini England (Manchester City), Pep Guardiola amefungiwa na shirikisho la soka barani Ulaya (UEFA),
Older Article
DONDOO MBALIMBALI ZA KURASA ZA MAGAZETI YA ALHAMISI YA TAREE 7.2018
Labels:
Michezo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment