TUMUSIFU BWANA

prop

Friday 8 June 2018

SHUHUDI LIVE MSANII ANAYE TAMBULISHWA NA DK . SHIKA

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
 Dk. Shika akimtambulisha msanii wake


Mzee maarufu mtandaoni, Dk. Shika ameamua kutumbukia kwenye kiwanda cha Bongo Flava. Leo amemtambulisha msanii wake aitwaye Godson ambaye atakuwa chini ya usimamizi wake na hivi karibuni kazi zake zitatoka.

Dk. Shika ameeleza kuwa muziki wa Bongo Flava ni kiwanda hivyo ameamua kuanza nacho na ni miongoni mwa vile viwanda 30 alivyotangaza kuvianzisha hapa nchini.



No comments:

Post a Comment