TUMUSIFU BWANA

prop

Sunday 10 June 2018

Full time singida united vs homeboys 1_4 goals

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.

Matokeo Kakamega homeboyz vs Singida United 10 June 2018


Matokeo Kakamega homeboyz vs Singida United 10 June 2018

Matokeo Mchezo wa kutafuta Mshindi wa 3 katika uwanja wa Afraha kati ya Singida United na Kakamega Homeboys



KK Homeboyz 0 – 0 Singida United

Dakika ya 3 Opondo anaitanguzila Kakamega Homeboyz kwa bao la Kwanza

KK Homeboyz 1 – 0 Singida United

Dakika 10

KK Homeboyz 1 – 0 Singida (3′ Opondo)

Dakika ya 15 Singida United wanajaribu kutengeneza Mipango lakini Wanapoupata Kakamega Homeboyz wao wamekuwa watu wa Kucheza kwa Kasi Tu, 1 – 0

Dakika ya 17 Kakamega wanafanya shambulizi la Hatari, Shujaa anakuwa Kennedy Juma anaokoa mpira na Kuwa Kona

Dakika 20 katika uwanja wa Afraha Nakuru, Matokeo bado ni 1 kwa Kakamega Homeboyz na 0 kwa Singida United

Dakika ya 23 KK Homeboyz wanawakosa Singida bao jingine.

Dakika ya 27 Danny lyanga anachezewa Faulo, Free Kick

Inapigwa inakosa madhara kwa Kakamega

Dakika ya 35 Manyika Jr anaokoa mpira hatari wa adhabu uliopigwa langoni mwa Singida, Kakamega 1 – 0 Singida

HALF TIME

Kakamega Homeboyz 1 – 0 Singida United (3′ Opondo)

KIPINDI CHA PILI

Dakika ya 56 Maliki Antiri anapewa kadi ya njano kwa kumcezea vibaya Mudavadi

Kakamega 1 – 0 Singida United

Goaaaaaaaaal Dakika ya 60 Danny Lyanga anaipatia Singida Bao la Kusawazisha

Kakamega Homeboys 1 – 1 Singida United



Dakika ya 75

Kakamega Homeboys 1 – 1 Singida United

Dakika ya 80

Kakamega Homeboys 1 – 1 Singida United

DAKIKA 90 ZIMEISHA

Kakamega Homeboys 1 – 1 Singida United (Opondo, Danny Lyanga)

Zinafata Penati

Deus Kaseke anafunga Penati ya kwanza Singida

Mukhaya anakosa penati upande wa KK Homeboys, Anapiga Juu

KK  Homeboys 0 – 1 Singida United

Miraji Adam anafunga penati kwa Singida United

Kisuya wa KK Homeboys anakosa, Manyika anaicheza

KK Homeboys 0 – 2 Singida United

Shafiq Batambuze anafunga penati ya 3 ya Singida United

Wafula wa KK Homeboys anafunga PENATI

KK hOMEBOYZ 1 – 3 Singida United

Danny Lyanga anafunga Penati ya 4 kwa Upande wa Singida United, Singida washindi wa Tatu wa Sportpesa Super Cup

FULL TIME

KK Homeboyz 1 – 4  Singida United

No comments:

Post a Comment