Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
Cristiano Ronaldo amesema punde atatangaza mustakabali wake baada ya kuisaidia Real Madrid kushinda kombe mara ya tatu kwenye michuano ya Ligi ya mabingwa.
Real iliitandika Liverpool 3-1 mjini Kiev siku ya Jumamosi, kutokana na matunda ya GarethBale na shambulio la Karim Benzema
Ingawa Ronaldo hakupachika goli, alimaliza akiwa mfungaji bora msimu huu akiwa na magoli 15.
''siku chache zijazo nitatoa majibu kwa mashabiki'' Ronaldo aliliambia shirika la Bein Sports
''Ilikuwa safi sana kuwa Real Madrid.''Mustakabali wa mchezaji yeyote wa Madrid sio muhimu:muhimu ni kuwa tumeweka historia''.
Alipoulizwa kufafanua kwa nini alitumia sentensi ya wakati uliopita kuhusu kuichezea Madrid,Ronaldo aliongeza, ''Sina shaka, sio muhimu.
''Nahitaji kupumzika, kukutana na timu ya Ureno (Kabla ya Kombe la Dunia) na katika kipindi cha wiki chache ''nitawatangazia ''.
Ronaldo 33 amekuwa na Real Madrid tangu mwaka 2009 na ana mkataba na klabu hiyo mpaka mwaka 2021.
Ni mchezaji wa kwanza kushinda mataji matano ya ligi ya mabingwa tangu kubadilishwa mfumo na kuwa Euefa mwaka 1992.
Lakini alipoulizwa kama hakufurahishwa na kutokufunga goli kwenye fainali, alisema ''Nani hakufurahishwa''? Labda wanapaswa kubadilisha jina la michuano na kuwa michuano ya mabingwa ya CR7, akaulizaa, nani ana mataji mengi? na nani mwenye magoli mengi?''
prop
Sunday, 27 May 2018
CRISTIANO RONALDO ATANGAZA HATIMA YAKE REAL MADRID
Recommended Articles
- Michezo
Julio: Alikiba Anaweza Kucheza hata Ulaya Jun 10, 2018
KOCHA wa Dodoma FC, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ameweka wazi kuwa msaÂnii wa Bongo Fleva nchini, Ally Salehe Kiba ‘Alikiba’...
- Michezo
MAMBO MATANO MAKUBWA WALIO HAFIKIANA YANGA SC MKUTANO MKUUJun 10, 2018
Club ya Dar es Salaam Young Africans leo Jumapili ya June 10 2018 ilifanya mkutano mkuu na wanachama wake katika ukumbi wa Police Officers Mess M...
- Michezo
GOR MAHIA WAIPA KICHAPO SIMBA SC...SAFARI YA ULAYA NDO BASI TENAJun 10, 2018
Moja kati ya siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu na mashabiki wa soka Bongo ni leo June 10 2018, kwani ndio ilikuwa siku inayochezwa mchezo wa...
- Michezo
MATOKEO GOR MAHIA VS SIMBA SC 2_0 KIPINDI CHAPILIJun 10, 2018
Matokeo Gor Mahia vs Simba leo 10 June 2018 Sportpesa Matokeo Gor Mahia vs Simba leo 10 June 2018 Sportpesa Matokeo Gor Mahia vs Simba leo 10 Ju...
Newer Article
PATA WIMBO WA AMBWENE MWASONGWE WEWE NI JIWE
Older Article
KWA KILICHO MTOKEA MO SALAH AGOMA KUFANYA JAMBO HILI
Labels:
Michezo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment