Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
Rais John Magufuli amefanya uteuzi wa Majaji 10 wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Naibu Mkurugenzi wa Mashitaka, Wakili Mkuu wa Serikali na Naibu Wakili Mkuu wa Serikali.
Taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu Jijini DSM imesema Majaji walioteuliwa na Rais John Magufuli ni Elvin Mugeta, Elinaza Luvanda, Yose Mlyambina, Immaculata Banzi na Mustafa Siyani. Majaji wengine ni Paul Ngwembe, Agnes Mgeyekwa, Stephen Magoiga, Thadeo Mwenempazi na Butamo Philip.
Aidha Rais Magufuli amemteua Dokta Evaristo Longopa kuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Edson Makallo kuwa Naibu Mkurugenzi wa Mashitaka, Dokta Julius Mashamba kuwa Wakili Mkuu wa Serikali na Dokta Ally Possi kuwa Naibu Wakili Mkuu wa Serikali.
prop
Sunday, 15 April 2018
JPM AFANYA UTEUZI WA MAJAJI 10 WA MAHAKAMA KUU TANZANIA
Recommended Articles
- Habari
LIVE: Abdul Nondo anazungumza na waandishi wa habariJun 10, 2018
BOFYA HAPA KUSIKIA MAONGEZO LIVE SASA
- Habari
HIVI APA VYUO 20 VILIVYOFUNGIWA NA NECTA NA SABABU ZA KUFUNGIWA Jun 08, 2018
Vifahamu vyuo 20 vilivyofungiwa na NACTE na sababu za kufungiwa Leo June 8, 2018 Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) limefuta usajili...
- Habari
SHUHUDI LIVE MSANII ANAYE TAMBULISHWA NA DK . SHIKAJun 08, 2018
Dk. Shika akimtambulisha msanii wake Mzee maarufu mtandaoni, Dk. Shika ameamua kutumbukia kwenye kiwanda cha Bongo Flava. Leo amemtambulish...
- Habari
Walichoandika wolper,Snura Prof.Jay kuhusu kifo cha samu wa UkweliJun 06, 2018
Walichoandika Wolper, Snura na Prof. Jay kuhusu kifo cha Sam wa Ukweli Usiku wa June 6, 2018 Muimbaji Sam wa Ukweli amefariki dunia baada ya ...
Newer Article
Man united vs west brom 0_1 fully time
Older Article
Live match man united vs west brom live now
Labels:
Habari
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment