Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
Ratiba ligi Kuu Tanzania Bara VPL Jumatatu 14 May 2018
Ligi Kuu soka ya Tanzania Bara VPL Itaendelea leo kwa Mchezo mmoja kuchezwa katika uwanja wa Mabatini wilaya ya Mlandizi mkoani Pwani.
Mchezo huo utazikutanisha Ruvu Shooting ambao watakuwa wenyeji wa Stand United chama la wana kutoka mkoani Shinyanga.
KOCHA MPYA SIMBA KUANZA NA MAPINDUZI
4 hours ago

No comments:
Post a Comment