TUMUSIFU BWANA

prop

Tuesday 22 May 2018

Haya apa tatokeo Yanga sc vs mbao fc 1_0

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
SPECIALYANGA
Matokeo Yanga vs Mbao

Matokeo Yanga vs Mbao Fc 22 Mei 2018

Matokeo Mechi kati ya Yanga dhidi ya Mbao Fc ni mechi ya 28 kwa Yanga Msimu huu na Mechi ya 29 kwa Mbao Fc msimu Huu. Matokeo ya Mechi Hii ni kama ya Kutafuta heshima Tu kwani Mbao hashuki Daraja na Yanga hawezi kuwa Bingwa.

Tetesi za Usajili Yanga 22 May 2018

Mechi Inaanza saa 10 Kamili na Tutakupa Matokeo Live

tetesi za usajili Simba 22 May 2018

Mechi imeanza katika uwanja wa Taifa

Dakika ya Kwanza Yanga wanaanza kwa shambulizi langoni mwa Mbao Fc

Yanga wanajaribu kupiga Mipira Mirefu katika dakika hizi za Mwanzo

Dakika ya 4 Yusuph Mhilu anakosa nafasi ya Kuipatia Yanga BAO Aliwekewa Mpira mzuri akabaki na Kipa akapiga akakosa, Mpira Ukkarudi tena Kwake anapiga Kipa anadaka

Dakika ya 5 Krosi ya Hassan Kessy inatumiwa Vizuri na Pius Buswita kwa Kichwa lakini inakuwa Chakula kwa Kipa wa Mbao

Dakika ya 6 Mbao wanapata Kona, Inapigwa Kona Fupi Hassan Kessy anawahi na Kutoa Inakuwa Mpira wa Kurushwa Kuelekea Yanga.

Dakika 7

No comments:

Post a Comment