Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
Baada ya bodi ya Ligi kutangaza kuahirisha michezo kadhaa ya Ligi Kuu wiki kadhaa zilizopita, leo afisa mtendaji mkuu wa bodi ya Ligi Boniface Wambura leo ametangaza ratiba mpya ya Ligi Kuu Tanzania bara hadi msimu unapomalizika.
Wambura ametangaza mabadiliko na ratiba ya game mbalimbali huku akieleza kuwa wanatazamia kuona ratiba ya CAF kwa Yanga kama ataingia hatua ya Makundi ndio watajua kama watafanya tena mabadiliko, mchezo wa Simba dhidi ya Yanga uliokuwa uchezwe April 7 umesogezwa mbele hadi April 29.
prop
Monday, 26 March 2018
Hiapa taree ya march ya simba vs yanga
Recommended Articles
- Michezo
Julio: Alikiba Anaweza Kucheza hata Ulaya Jun 10, 2018
KOCHA wa Dodoma FC, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ameweka wazi kuwa msaÂnii wa Bongo Fleva nchini, Ally Salehe Kiba ‘Alikiba’...
- Michezo
MAMBO MATANO MAKUBWA WALIO HAFIKIANA YANGA SC MKUTANO MKUUJun 10, 2018
Club ya Dar es Salaam Young Africans leo Jumapili ya June 10 2018 ilifanya mkutano mkuu na wanachama wake katika ukumbi wa Police Officers Mess M...
- Michezo
GOR MAHIA WAIPA KICHAPO SIMBA SC...SAFARI YA ULAYA NDO BASI TENAJun 10, 2018
Moja kati ya siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu na mashabiki wa soka Bongo ni leo June 10 2018, kwani ndio ilikuwa siku inayochezwa mchezo wa...
- Michezo
MATOKEO GOR MAHIA VS SIMBA SC 2_0 KIPINDI CHAPILIJun 10, 2018
Matokeo Gor Mahia vs Simba leo 10 June 2018 Sportpesa Matokeo Gor Mahia vs Simba leo 10 June 2018 Sportpesa Matokeo Gor Mahia vs Simba leo 10 Ju...
Newer Article
Mama na mtoto wafariki kwaajari ya moto kenya
Older Article
Rais magufuri awataja viongozi wazembe
Labels:
Michezo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment