TUMUSIFU BWANA

prop

Tuesday 5 June 2018

TETESI ZA SOKA BALANI ULAYA JUMANNE YA 5.2018

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.

Mshambuliaji wa Liverpool na Senegal Sadio Mane, 26, alikubali kujiunga na Real Madrid kabla ya Zinedine Zidane kujiuzulu kama kocha wa mabingwa hao wa Ulaya. (France Football - in French)
Matumaini ya Chelsea ya kumzuia Eden Hazard yamepigwa jeki na hatua ya Zidane kuondoka Real. Raia huyo wa Ufaransa aliambia mabingwa hao wa Uhispania kumnunua mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 msimu ujao. (London Evening Standard)



Zidane alijiuzulu katika Real Madrid kutokana na mipango ya dirisha la uhamisho la msimu ujao. Klabu hiyo ilikuwa ikitaka kumnunua Kipa wa Manchester United na Uhispania David De Gea 27, lakini Zidane hakutaka. Pia alikasirika kwamba mpango wake wa kutaka kumsajili Hazard haikuungwa mkono. (Sun)

BBC ;sources

No comments:

Post a Comment