TUMUSIFU BWANA

prop

Thursday 7 June 2018

SHUHUDIA BAO KALI ALIVYO FUNGA RASHFORD MECHI YA ENGLAND VS COSTA RICA 2_0

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
RASHFORD AFUNGA BAO TAMU ENGLAND YAICHAPA COSTA RICA 2-0
>>>Soma kurasa za magazeti ya leo hapa <<<
Phil Jones (juu) na Nahodha Jordan Henderson (kulia) akimpongeza mchezaji mwenzao, Marcus Rashford baada ya kuifungia England bao zuri la kwanza dakika ya 13 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya  Costa Rica jana Uwanja wa Elland Road mjini Leeds, West Yorkshire kujiandaa na Kombe la Dunia. Bao la pili lilifungwa na Danny Welbeck dakika ya 76


Soma kurasa za magazeti ya leo

No comments:

Post a Comment