TUMUSIFU BWANA

prop

Tuesday 5 June 2018

Fundi aelezea changamoto utengenezwaji jeneza LA maria na consolata

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
 Fundi aelezea changamoto utengenezwaji Jeneza la Maria na Consolata



Leo June 5, 2018 tunayo story kutokea mkoani Iringa ambapo jeneza litakalotumika katika mazishi ya Mapacha maarufu walioungana Maria na Consolata ambapo wanatarajiwa kuzikwa kesho kwenye kaburi moja.

Zahara Omary ni Mkurugenzi wa Kiwanda cha Mandela, anaelezea utengenezaji wa jeneza litakalohifadhi miili ya Mapacha walioungana Maria na Consolata.

Source ;miladiayo

No comments:

Post a Comment