Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
Hawa ndiyo wapya wachezaji waliosaini Simba mpaka sasa
Kamusoko kuelekea azam fc soma hapa
Wakati Ligi Ikiwa imehitimishwa siku ya jana na Kushuhudia Simba ,Azam na Yanga zikiwa nafasi za Tatu za Juu na Njombe Mji pamoja na Maji maji zikishuka daraja tetesi na sajili za awali zimeendelea kama kawaida.
Wakati mambo mengine yakiendelea klabu ya Simba imeweza Kukamilisha Usajili wa awali na wachezaji wawili mmoja mtoto wa nyumbani na mwingine aliyekuwa Gumzo zaidi siku za karibuni.
Wachezaji hao ni Marcel Bonaventure Kaheza aliyekuwa akicheza Maji Maji na Mkataba wake umemalizika baada ya msimu na mchezaji Adam Salamba kutoka Lipuli Fc.
prop
Monday, 28 May 2018
WACHEZAJI HAWA TAYALI WASHA MALIZANA NA SIMBA SC ADISASA
Recommended Articles
- Michezo
Julio: Alikiba Anaweza Kucheza hata Ulaya Jun 10, 2018
KOCHA wa Dodoma FC, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ameweka wazi kuwa msaÂnii wa Bongo Fleva nchini, Ally Salehe Kiba ‘Alikiba’...
- Michezo
MAMBO MATANO MAKUBWA WALIO HAFIKIANA YANGA SC MKUTANO MKUUJun 10, 2018
Club ya Dar es Salaam Young Africans leo Jumapili ya June 10 2018 ilifanya mkutano mkuu na wanachama wake katika ukumbi wa Police Officers Mess M...
- Michezo
GOR MAHIA WAIPA KICHAPO SIMBA SC...SAFARI YA ULAYA NDO BASI TENAJun 10, 2018
Moja kati ya siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu na mashabiki wa soka Bongo ni leo June 10 2018, kwani ndio ilikuwa siku inayochezwa mchezo wa...
- Michezo
MATOKEO GOR MAHIA VS SIMBA SC 2_0 KIPINDI CHAPILIJun 10, 2018
Matokeo Gor Mahia vs Simba leo 10 June 2018 Sportpesa Matokeo Gor Mahia vs Simba leo 10 June 2018 Sportpesa Matokeo Gor Mahia vs Simba leo 10 Ju...
Newer Article
TETESI ZA KAMUSOKO KWENDA AZAM HIKO IVI APA
Older Article
KURASA ZA MAGAZETI MBALIMBALI TANZANIA JUMANNE YA 29.2018
Labels:
Michezo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment