TUMUSIFU BWANA

prop

Thursday 24 May 2018

TETESI ZA SOKA BALANI ULAYA IJUMAA YA 25.2018

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.

Kiungo wa kati wa Liverpool Emre Can, 24, atajiunga na Juventus mwisho mwa mwezi huu huku mkurugenzi mkuu wa mabingwa hao wa Italia Giuseppe Marotta akisema anataka kukamilisha mpango huo ndani ya siku 10. (Gazzetta dello Sport - in Italian)
Ninataka Arsenal wawe klabu bora zaidi duniani - Emery
Manchester United wana nia kulipa pauni milioni 79 kumsaini wing'a Douglas Costa kutoka Bayern Munich. Mchezaji huyo raia wa Brazil mwennye miaka 27 yuko kwa mkopo huko Juventus na mabingwa hao wa Italia wana uamuzi wa kumsaini kabisa. (Sun)
Hivi APA vikosi vya kwanza real Madrid vs liverpool
Kwingineko United hawama uhakika ikiwa watamwinda kiungo wa kati wa Lazio Sergej Milinkovic-Savic, baada ya klabu hiyo ya Italia kutangaza bei ya mchezaji huo kuwa pauni milioni 87.5 kwa raia huyo Serbia. (Mail)

Manchester City wanaandaa pauni milioni 52 kumnunua kuingo wa kati wa Napoli Jorginho. Mchezaji huyo wa kimataifa raia wa Italia mwenye umri wa miaka 26 kwa muda mrefu amekuwa kwenye orodha ya Pep Guardiola wakati anatamfuta kiungo mpya wa kati. (Calciomercato via Talksport)


Mauricio Pochettino
Meneja wa Tottenham Mauricio Pochettino ana matumaini ya kuwasaini mshambulajia wa Manchester United mfaransa Anthony Martial, 22, beki wa Ajax mholanzi Matthijs de Ligt, 18, na wing'a wa Fuljham Ryan Sessegnon, 18, baada ya kusaini mkataba wa miaka mitano, (Mirror)
Emery ateuliwa meneja mpya wa Arsenal
Pochettino pia atamwinda wing'a wa Cyrstla Palace Wilfried Zaha, 25, lakini the Eagles wanang'ang'ana kumweka mchezaji huyo raia wa Ivory Coast. (Mail)

Image caption
Victor Wanyama
Victor Wanyama amekana madai kuwa ataihama Tottenham msimu huu. Kiungo huyo wa kati raia wa Kenya 26, amekuwa kwenye kikosi cha kwanza cha Tottenham mara nane tu msimu uliopita. (Evening Standard)

No comments:

Post a Comment