TUMUSIFU BWANA

prop

Sunday 10 June 2018

MAMBO MATANO MAKUBWA WALIO HAFIKIANA YANGA SC MKUTANO MKUU

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.


Club ya Dar es Salaam Young Africans leo Jumapili ya June 10 2018 ilifanya mkutano mkuu na wanachama wake katika ukumbi wa Police Officers Mess Masaki Dar es Salaam na kujadili mambo mbalimbali kuhusiana na club yao.

Yanga wamejadili mambo mbalimbali ikiwemo kuafiki kwa pamoja club yao kuingia katika mfumo wa mabadiliko ila wamepinga na kukataa barua ya mwenyekiti wao Yussuf Manji ya kuomba kujiuzulu nafasi yake hiyo ndani ya Yanga.
 TAZAMA ILIVYO KUA  HAPA

No comments:

Post a Comment