Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
Fundi aelezea changamoto utengenezwaji Jeneza la Maria na Consolata
Leo June 5, 2018 tunayo story kutokea mkoani Iringa ambapo jeneza litakalotumika katika mazishi ya Mapacha maarufu walioungana Maria na Consolata ambapo wanatarajiwa kuzikwa kesho kwenye kaburi moja.
Zahara Omary ni Mkurugenzi wa Kiwanda cha Mandela, anaelezea utengenezaji wa jeneza litakalohifadhi miili ya Mapacha walioungana Maria na Consolata.
Source ;miladiayo
Kikosi : Yanga vs Coastal Union, CRDB Cup
1 hour ago
No comments:
Post a Comment