Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
Msanii wa muziki Bongo, Barakah The Prince amefunguka kuhusu tetesi za kujiunga na label wa WCB.
Muimbaji huyo ameiambia Rick Media kuwa WCB ni kama familia yake ila suala la kujiunga na label hiyo halina ukweli wowote.
“Hapana, WCB ni kama familia yangu, mara nyingi hata mameneja wa WCB ndio wanakuwa wananiongoza na kunielekeza nifanye nini,” amesema Barakah.
“Kwa hiyo tumeamua kuwa kama familia na kuna wasanii wengi wanafanya vizuri, lakini sio kwamba nipo chini ya WCB, no siyo kweli,” amesisitiza.
April 25, 2018 Dj wa Diamond Platnumz ‘Romy Jones/Rj The Dj’ aliachia wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la Bora Iwe akiwa amemshirikisha Baraka The Prince.
Utakumbuka July 21, 2017 Baraka The Prince alitangaza kuondoka katika label ya Rockstar4000 kwa kile alichodai kuna mambo hayapo sawa kati yake na menejimenti hiyo.
Loading...
prop
Tuesday, 1 May 2018
BARAKAH THE PRINCE AFUNGUKA ISHU YA KUSAINI WCB
Recommended Articles
- Hot news
Navy Kenzo - Fella (Official Audio)Jun 09, 2018
- Hot news
VIDEO | Machalii Wa Yesu - Yesu Anakupenda | Watch/DownloadJun 09, 2018
DOWNLOAD NOW
- Hot news
Download wimbo mpya wa MBOSSO _Nadekezwa Jun 08, 2018
DOWNLOAD NOW Huu apa uamzi wa TFF Kwa Yanga soma hapa
- Hot news
PATA ZAIDI YA MARA MBILI YA ULICHO WEKA JISAJILI SASA HAPA Jun 05, 2018
JINSI YA KUJIUNGA NA 1XBET TANZANIA 1xBet ni kampuni ya mikeka ambayo ni bora na iliyokidhi vigezo vya kimataifa katika sekta hii ya mikeka. Kampu...
Labels:
Hot news
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment