Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
Matokeo Mwadui Fc vs Mbao Fc VPL 30 April 2018
Matokeo Mwadui Fc ambao wapo nyumbani kuwakaribisha Timu ya Mbao Fc kutoka Jijini Mwanza, timu zote zinapambana ili kutoshuka Daraja
Mwamuzi Erick Onoka anapuliza Filimbi kuahiria kuanza kwa pambano.
Dakika ya Kwanza Mbao wanapata Kona, kona inapigwa refa anasema Irudiwe.
Inapigwa Kona lakini Inashindwa kuleta madhara langoni mwa Mwadui Fc.
Dakika 5 Zimekatika
Mwadui Fc 0 – 0 Mbao Fc
Dakika ya 7 Mbao wanapata kona ya Pili kwenye mchezo Huu, Lakini mabeki wa Mwadui wanaokoa lakini Mpira bado upo Langoni mwa Mwadui
Dakika ya 8 Mwadui wanafanya shambulizi zuri kipa anatoa na Kuwa Kona
Mwadui 0 – 0 Mbao Fc
Dakika 15
Mbao wanaonekana kucheza vizuri wakiwa wamerelax wakipiga pasi Fupi na Kutengeneza mashambulizi kadhaa, Lakini bado ni 0 kwa 0
Dakika ya 17 Mwadui wanapata kona, Mabeki wa Mbao wanaokoa Mpira Unarudi tena Langoni mwa Mbao ni hatari lakini Unaokolewa tena
Dakika ya 26 Mwadui wanafanya Shambuzi la Kiume, Unapigwa Mpira Unagonga Mwamba wa Juu unatoka
Mwadui 0 – 0 Mbao Fc
Dakika ya 29 Makosa ya safu ya Ulinzi ya Mbao yanawapa Mwadui bao la Kuongoza.
Mwadui 1 – 0 Mbao Fc
Awesu anapewa kadi ya Njano baada ya Kumwadaa mwamuzi kuwa amekanyagwa kumbe kajiangusha
Dakika 35
Mwadui 1 – 0 Mbao Fc
Dakika ya 42 Gerald Mathias wa Mwadui anapewa kadi ya Njano, Alionekana anachonga sana kwa Mwamuzi
Mpira ni mapumziko
Mwadui 1 – 0 Mbao Fc
KIPINDI CHA PILI
Dakika ya 46 Kipa wa Mbao anapewa kadi ya Njano kwa kucheza Faulo
Dakika ya 49 Salum Hamis wa MWADUI anakosa bao yeye na Kipa wa Mbao Hassan Mohammed, Kipa anaokoa
Dakika ya 52 Kipa wa Mwadui Emmanuel Massawe anapewa kadi Nyekundu baada ya KWENDA kuukoa Mpira Uliokuwa unaelekea Golini nje ya 18
Dakika ya 56 Mwadui wanafanya Sub ili aweze Kuingia kipa mwingine
Dakika ya 70
Mwadui 1 – 0 Mbao Fc
Dakika ya 75 Mbao wanapata Kona mwadui wanaokoa
prop
Monday, 30 April 2018
MATOKEO YA MWADUI FC VS MBAO FC VPL 1_0
Recommended Articles
- Michezo
Julio: Alikiba Anaweza Kucheza hata Ulaya Jun 10, 2018
KOCHA wa Dodoma FC, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ameweka wazi kuwa msaÂnii wa Bongo Fleva nchini, Ally Salehe Kiba ‘Alikiba’...
- Michezo
MAMBO MATANO MAKUBWA WALIO HAFIKIANA YANGA SC MKUTANO MKUUJun 10, 2018
Club ya Dar es Salaam Young Africans leo Jumapili ya June 10 2018 ilifanya mkutano mkuu na wanachama wake katika ukumbi wa Police Officers Mess M...
- Michezo
GOR MAHIA WAIPA KICHAPO SIMBA SC...SAFARI YA ULAYA NDO BASI TENAJun 10, 2018
Moja kati ya siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu na mashabiki wa soka Bongo ni leo June 10 2018, kwani ndio ilikuwa siku inayochezwa mchezo wa...
- Michezo
MATOKEO GOR MAHIA VS SIMBA SC 2_0 KIPINDI CHAPILIJun 10, 2018
Matokeo Gor Mahia vs Simba leo 10 June 2018 Sportpesa Matokeo Gor Mahia vs Simba leo 10 June 2018 Sportpesa Matokeo Gor Mahia vs Simba leo 10 Ju...
Newer Article
Dondoo za magazeti ,michezo na burudani Tanzania 01.2018
Older Article
TUTAKUKUMBUKA WIMBO MPYA
Labels:
Michezo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment