Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
Katibu Mwenezi wa CHADEMA ambaye pia alikuwa Meneja Kampeni wa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, Gabrieli Kivuyo (kushoto).
Katibu Mwenezi wa chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye pia alikuwa Meneja Kampeni wa Mbunge wa Ausha Mjini, Godbless Lema, Gabrieli Kivuyo jana alikihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kile alichodai ni utovu wa nidhamu ndani ya CHADEMA.
Aidha, amedai kuwa viongozi wake ikiwemo Mbunge kuwadharau pamoja na kitendo cha kutolewa nje kwenye kikao cha Mameya kwa tuhuma za kuwarekodi.
Akizungumza wakati akipokelewa na Katibu wa CCM-Wilaya, Musa Matotoka, amesema hata akipata matatizo na kumtafuta Mbunge amekuwa hapatiwi ushirikiano.
prop
Saturday, 31 March 2018
Meneja wa mbunge wa arusha lema ahamia ccm
Recommended Articles
- Hot news
Navy Kenzo - Fella (Official Audio)Jun 09, 2018
- Hot news
VIDEO | Machalii Wa Yesu - Yesu Anakupenda | Watch/DownloadJun 09, 2018
DOWNLOAD NOW
- Hot news
Download wimbo mpya wa MBOSSO _Nadekezwa Jun 08, 2018
DOWNLOAD NOW Huu apa uamzi wa TFF Kwa Yanga soma hapa
- Hot news
PATA ZAIDI YA MARA MBILI YA ULICHO WEKA JISAJILI SASA HAPA Jun 05, 2018
JINSI YA KUJIUNGA NA 1XBET TANZANIA 1xBet ni kampuni ya mikeka ambayo ni bora na iliyokidhi vigezo vya kimataifa katika sekta hii ya mikeka. Kampu...
Newer Article
Dondo za magazeti ya April 01.2018 jumapili
Older Article
Wakristo ulimwenguni kote wanatarajia kusherekea paasaka
Labels:
Hot news
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment