TUMUSIFU BWANA

prop

Friday 27 April 2018

MATOKEO YA MECHI ZA LEO VPL LEO HAYA APA

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kudownload APP YETU BOFYA HAPA, Au ingia playstore tafuta KALAMBO NEWS kisha bofya install.
Matokeo Mbeya City vs Singida United 27 April 2018

Matokeo mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara Vodacom Premier League katika uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya kati ya Mbeya City dhidi Ya Singida United

>> Soma habari za michezo hapa <<

Mechi Imeanza katika uwanja wa Sokoine Mkoani Mbeya

Mbeya City 0 – 0 Singida United

Dakika ya 4 Free Kick ya Haruna Shamte inawatanguliza Mbeya City mbele kwa Bao 1.

Mbeya City 1 – 0 Singida United

Dakika ya 8 Frank Hamis Ikobela anajaribu kuingia katika ngome ya Mbeya City lakini Kipa Wa Singida United Manyika Peter Jr anawahi anadaka Mpira.

Dakika 10

Mbeya City 1 – 0 Singida United

Singida wanaonekana kutulia na Kupiga Pasi Fupi fupi

Dakika ya 15

Mbeya City 1 – 0 Singida United (4′ Haruna Shamte)

Dakika ya 16 Maliki Antiri anasawazisha bao kwa Singida United, Mambo ni sawa kwa sawa Sokoine yani 1 kwa 1.

Dakika ya 17

Mbeya City 1 – 1 Singida United

Dakika ya 21 Mbeya City wanapata Faulo nje kidogo ya 18

Anapiga Shamte lakini Kipa Manyika anapangua mpira uluiokuwa hatari langoni mwa Singida United

Dakika ya 26 Mbeya City wanakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 28 Mpira wa adhabu unapigwa kuelekea Mbeya City, Unakosa madhara.

Dakika ya 30 Yusuph Kagoma anapewa kadi ya njano kwa kumchezea vibaya Frank Ikobela

Dakika ya 31 Mpira wa Hatari unapanguliwa na Manyika na Kuwa Kona

Inapigwa Kona Kennedy Juma anaondoa katika hatari

Mbeya City 1 – 1 Singida United

Dakika ya 38 Iddi Suleiman “Idd Nado” anachukua nafasi ya Victor Hangaya, Nado ndiye aliyesawazisha goli kwa Mbeya City ilipocheza na Yanga

Dakika ya 43 Iddy Nado anawekwa chini na Kaseke akielekea Golini.

Dakika ya 43 Inapigwa Free Kick tamu na Mwakatundu Manyika anatoa na Kuwa Kona.

Mbeya City 1 – 1 Singida United

HALF TIME

Mbeya City 1 – 1 Singida United

KIPINDI CHA PILI

Mechi inaendelea kwa kipindi cha Pili

Mbeya City 1 – 1 Singida United

Dakika ya 50 Bado ni 1 kwa 1

dakika ya 54 Deus Kaseke alijaribu kupiga Shuti linalopaa washabiki wa Mbeya City wanazomea

Dakika ya 59 Mbeya City wanakosa nafasi ya wazi, Eliud Ambokile anapishana na Mpira

Dakika ya 60 Eliud Ambokile kwa mara nyingine anawekewa Mpira na Frank Ikobela anapaisha akiwa yeye na Kipa

Mbeya City 1 – 1 Singida United

Dakika ya 61 Yusuph Kagoma anatoka anaingia Mudathir Yahya Abbas

Dakika ya 65

Mbeya City 1 – 1 Singida United

Dakika ya 69 Walitengeneza Shambulizi zuri Mbeya City anyika akawa shujaa

Dakika ya 77 Ametoka Salita Kambale ameingia Mundia

Mbeya City 1 – 1 Singida United

Dakika ya 80 bado ni 1 kwa 1

Dakika ya 88 timu zote zinaonekana kucheza kwa Tahadhari, Matokeo yakiwa bado 1kwa 1

FULL TIME

Mbeya City 1 – 1 Singida United (Haruna Shamte, Malik Antiri)
0

Matokeo Njombe Mji vs Ndanda 27 April 2018

Timu ya Njombe Mji ya Mkoani Njombe imefanikiwa kupata Ushindi wa bao 2 kwa 0 Ikicheza dhidi ya Ndanda uwanja wa sabasaba.

Bao la kwanza la  Njombe Mji limepatikana kipindi cha Kwanza katika dakika ya 17 kupitia kwa Notiker Masasi na bao la Pili

No comments:

Post a Comment